Bondia Mmarekani, Deontay Wilder (kulia) akiwa ameketi chini baada ya kuangushwa Muingereza, Tyson Fury (kushoto) katika pambano la ngumi za kulipwa la uzito wa juu asubuhi ya leo ukumbi wa MGM Grand Jijini Las Vegas, Marekani. Gypsy King alimuangusha mara mbili Bronze Bomber kabla ya wasaidizi wake kurusha taulo ulingoni raundi ya saba kumnusuru na kipigo zaidi hivyo Fury kutwaa taji la WBC kwa ushindi wa Technical Knockout (TKO) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sextortion: FBI arrests 22 Nigerians after multiple teen suicides
-
By John Ogunsemore The Federal Bureau of Investigation (FBI) has arrested
22 Nigerians allegedly involved in a financially motivated sextortion
scheme th...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment