Serge Gnabry akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich mabao mawili dakika za 51 na 54 kabla ya Robert Lewandowski kufunga la tatu dakika ya 76 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Chelsea usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London, kwenye mchezo wa kwanza Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Timu hizo zitarudiana Machi 18 Jijini Munich PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three red cards, Jude Bellingham 'restrained' and an ICE PACK thrown at the
referee: Real Madrid implode in Copa del Rey defeat by Barcelona - and
Antonio Rudiger faces probe after meltdown
-
Real Madrid defender Antonio Rudiger is facing a lengthy ban for his
actions during Los Blancos ' dramatic Copa Del Rey final defeat by
Barcelona .
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment