Mshambuliaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo akisikitika baada ya kupoteza nafasi nzuri ya kufunga dakika ya 80 kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya wakichapwa 1-0 na wenyeji, Lyon usiku wa jana Uwanja wa Groupama, Decines-Charpieu bao pekee la Lucas Tousart dakika ya 31. Timu hizo zitarudiana Machi 17 Jijini Torino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The Eubanks are REUNITED: Father and son bury the hatchet as Chris Eubank
Sr walks side-by-side with Jr on night old family feud is settled against
Conor Benn
-
In a shocking sign that they may have buried the hachet, they were pictured
entering the Tottenham Hotspur Stadium alongside each other on Saturday
night.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment