Cristiano Ronaldo akiondoka na mpira baada ya kuifungia bao la kusawazisha Juventus kwa penalti dakika ya 90 na ushei katika sare ya 1-1 na wenyeji, AC Milan kwenye mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Kombe la Italia usiku wa jana Uwanja wa Giuseppe Meazza Jijini Milan. Penalti hiyo ilitokana na Davide Calabria kuunawa mpira wa tik tak wa Ronaldo na refa akatumia VAR kujiridhisha. Milan ilitangulia kwa bao la Ante Rebić dakika ya 61 akimalizia pasi ya Samu Castillejo na sasa timu hizo zitarudiana Machi 4 Uwanja wa Allianz, Torino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REVEALED: The Premier League rivals who are keeping tabs on Crystal Palace
star Eberechi Eze, the local hero forged in 'Concrete Catalonia' - but
here's why none have met his £68million release clause yet
-
SIMON JONES: The rhetorical question for Crystal Palace chairman Steve
Parish last September was: why had Eberechi Eze not been prised away from
Selhurst P...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment