Nyota wa Real Madrid, Eden Hazard akipambana na kiungo wa Celta Vigo, Rafinha katika mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Bernabeu Jijini Madrid. Mabao ya Celta Vigo yamefungwa na Fedor Smolov dakika ya saba na Santi Mina dakika ya 85, wakati ya Real Madrid yalifungwa na Toni Kroos dakika ya 52 na lingine kwa penalti ya Sergio Ramos dakika ya 65. Pamoja na sare hyo Real inaendelea kuongoza La Liga kwa pointi moja zaidi ya mabingwa watetezi, Barcelona (53-52) baada ya wote kucheza mechi 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cody Gakpo urges 'special' Mohamed Salah to stay at Liverpool beyond this
season and insists the Reds are 'very lucky to have him' - with talisman's
contract expiring in the summer
-
Once again Salah has been instrumental to their success, and he recently
became the first Premier League player to have double figures in goals and
assists...
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment