Lionel Messi akishangila kibabe baada ya kufunga mabao manne dakika za 14, 37, 40 na 87 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Eibar kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Camp Nou, bao lingine likifungwa Arthur dakika ya 89. Kwa ushindi huo, kikosi cha Quique Setien kinafikisha pointi 55 katika mchezo wa 23 na kurejea kileleni mwa La Liga, sasa kikiwazidi pointi mbili mahasimu, Real Madrid ambao usiku huu wanacheza mechi yao ya 23 pia dhidi ya Levante PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dejected Shedeur Sanders left anxiously waiting as Steelers and Giants make
shock NFL Draft decision
-
Colorado quarterback Shedeur Sanders was left to sit and watch as he
continued tumbling down the 2025 NFL Draft boards in a stunning scene.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment