Anthony Martial akiifungia bao la kusawazisha Manchester United dakika ya 36, kufuatia Emmanuel Dennis kuanza kuifungia Club Brugge dakika ya 15 katika sare ya 1-1 baina ya timu hizo kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora michuano ya UEFA ya Europa League usiku wa jana Uwanja wa Jan Breydel Jijini Brugge, Ubelgiji. Timu hizo zitarudiana Februari 27 Manchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Let the party begin! Thousands of Liverpool fans flood the city to
celebrate historic 20th league title - as Trent Alexander-Arnold, Mo Salah
and Co rejoice on the pitch at Anfield
-
Supporters scaled the railings by the Kop, waved scarves from rooftops and
even clambered onto a passing Greggs van to get the best view of the red
sea str...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment