Kevin De Bruyne (kulia) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester City kwa penalti dakika ya 83 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Real Madrid usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu Jijini Madrid kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Real Madrid ilitangulia kwa bao la Isco dakika ya 60, kabla ya Gabriel Jesus kuisawazishia Man City dakika ya 78 na timu hizo zitarudiana Machi 17 Uwanja wa Etihad, Manchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: The BRUTAL cut that sent Chris Eubank Jr to hospital after
claiming victory in his bloody grudge match against rival Conor Benn
-
Eubank Jr was on the receiving end of a series of devastating blows and
sustained a nasty cut above his right eye which required the 35-year-old to
be admi...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment