Mshambuliaji Alexandre Lacazette (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Arsenal bao pekee dakika ya 81 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Olympiakos Piraeus usiku wa jana Uwanja wa Georgios Karaiskaki, Pireas nchini Ugiriki kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora UEFA Europa League. Timu hizo zitarudiana Februari 27 London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man who was viciously assaulted by Noah Balta breaks silence after Richmond
star learns his fate
-
Thomas Washbrook was left bloodied, bruised and needing hospital treatment
after he was repeatedly punched by the 25-year-old Tigers defender.
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment