Gabriel Jesus (kushoto) akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao pekee dakika ya 80 ikiilaza Leicester City 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power leo. Sergio Aguero alikosa penalti iliyookolewa na Kasper Schmeichel, wakati Leicester walilalamika kunyimwa penalti mbili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Owen claims Arsenal star should be 'SCREAMING' at his team-mate in
the dressing room after costly error in 2-2 draw with Crystal Palace
-
Michael Owen believes an Arsenal star should be calling his team-mate out
in the dressing room after the Gunners were held to a 2-2 draw by Crystal
Palace ...
53 minutes ago
0 comments:
Post a Comment