Mshambuliaji wa umri wa miaka 22 Msenegal, Ismaila Sarr (katikati) amefunga mabao mawili dakika za 54 na 60 katika ushindi wa 3-0 wa Watford dhidi ya Liverpool, bao lingine la wenyeji likifungwa na Troy Deeney dakika ya 72 Uwanja wa Vicarage Road kikosi cha Jurgen Klopp kikipoteza mechi ya kwanza ya msimu katika Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
OSPRE boosts early warning systems in Anambra, Benue, Katsina, and Plateau
-
From Abdulrazaq Mungadi, Gombe The Office for Strategic Preparedness and
Resilience (OSPRE) has launched the Safety, Peace, and Resilience in
Communities...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment