Hans Hateboer akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Atalanta mabao mawili dakika ya 16 na 62 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Valencia kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa usiku wa jana Uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan. Mabao mengine ya Atalanta yalifungwa na Josip Ilicic dakika ya 42 na Remo Freuler dakika ya 57, wakati la Valencia lilifungwa na Denis Cheryshev dakika ya 66 na timu hizo zitarudiana Machi 10 Uwanja wa Mestalla PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Buddy Franklin breaks his silence on wild rumour that he has been wearing a
wig
-
AFL legend Lance 'Buddy' Franklin has just made a big career move by
starting a podcast with an old teammate - and he has used the platform to
speak out ab...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment