Antoine Griezmann (kulia) akijiandaa kushangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Barcelona dakika ya 57 ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Napoli waliotangulia kwa bao la Dries Mertens dakika ya 30 katika mchezo wa kwanza Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa San Paolo Jijini Napoli. Timu hizo zitarudiana Machi 18 Camp Nou PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ghana star Thomas Partey weighs his options as Arsenal plans contract
extension
-
Ghana international Thomas Partey is currently weighing up his options as
Arsenal plans to extend his contract. Partey, who joined the Gunners in
summer 20...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment