Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 56 ikiwalaza mahasimu, Atletico Madrid 1-0 katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Kwa ushindi huo, Real inafikisha point 49 katika mchezo wa 22 na kuendelea kuongoza La Liga, sasa ikiwazidi pointi sita mabingwa watetezi, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: The incredible seven-figure salary controversial Man United
YouTuber Mark Goldbridge pays himself, as his accounts emerge
-
Manchester United YouTuber Mark Goldbridge has established a substantial
platform for himself, one that has benefitted him in more ways than one.
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment