Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 33 kabla ya Sergi Roberto kufunga la pili dakika ya 39 katika ushindi wa 2-1 leo dhidi ya Getafe ambayo bao lake limefungwa na Angel Rodriguez dakika ya 66 kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Ushindi huo unaifanya Barca ifikishe pointi 52 katika mchezo wa 24, sawa na Real Madrid yenye mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olivia Podmore: Parents of Olympian, 24, who took her life the day after
the Tokyo Games give shattering insights into her death amid allegations of
bullying
-
A coronial inquest into the death of former New Zealand Olympic cyclist
Olivia Podmore has revealed the 24-year-old endured shocking instances of
alleged b...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment