Mshambuliaji wa Liverpool, Sadio Mane akimrukia Sime Vrsaljko wa Atletico Madrid usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano Jijini Madrid kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Atletico Madrid ilishinda 1-0, bao pekee la Saul Niguez dakika ya nne na sasa timu hizo zitarudiana Machi 11 Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New York Giants rookie Abdul Carter reacts to rejection from NFL legend and
team icon Lawrence Taylor
-
Abdul Carter shot his shot with New York Giants legend Lawrence Taylor. But
that request may have been a bit too much to ask, even for the
third-overall pi...
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment