Youssef El-Arabi akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Olympiacos dakika ya 119 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Arsenal kwenye mchezo wa marudiano Hatua ya 32 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates Jijini London. Olympiacos ilitangulia kwa bao la Pape Abou Cissé dakika ya 53, kabla ya Pierre-Emerick Aubameyang kuisawazshia Arsenal dakika ya 113, hivyo kufanya matokeo ya jumla kuw asare ya 2-2 na baada ya Washika Bunduki wa London kushinda 1-0 kwenye mchezo wa kwanza ugenini, lakini timu ya Ugiriki inasonga mbele kwa faida ya mabao ya ugenini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bournemouth 1-1 Man United: Rasmus Hojlund nets 96th minute equaliser to
rescue a point for Ruben Amorim's men against 10-man Cherries
-
CHRIS WHEELER AT THE VITALITY STADIUM: Rasmus Hojlund struck deep into
injury time to salvage a draw for Manchester United against Bournemouth on
Sunday.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment