Mshambuliaji wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20, Diana Msemwa (kulia) akishangilia na Protasia Mbunda baada ya kuifungia Tanzanites bao la kwanza katika ushnidi wa 2-1 dhidi ya Uganda kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2020. Bao la pili la Tanzania limefungwa na wakati la Opa Clement, wakati la Uganda limefungwa na Julieth Nalukenge. Sasa Tanzanites watatakiwa kwenda kuulinda ushindi huo kwenye mchezo wa marudiano Uganda ili kusonga mbele
Crystal Palace 2-2 KuPS: How did the Eagles' youngsters fare, which star
took his chance AGAIN - and was Oliver Glasner right to prioritise the
Premier League?
-
WILL PICKWORTH AT SELHURST PARK: The draw meant the Eagles finished 10th in
the Conference League table, and they will now be forced into two extra
fixture...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment