Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva akishangilia baada ya kuifungia Difaa Hassan El-Jadida bao la kuongoza dakika ya sita katika sare ya 1-1 na Rapide Oued Zem ambayo bao lake lilifungwa na winga wa Mali, Abdoulaye Diarra kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Morocco, maarufu Botola Pro usiku wa jana Uwanja wa Ben Ahmed El Abdi mjini El Jadida, Mazghan.
'England have been treated like adults - now they must play like adults'
-
As England go into the third Ashes Test in Adelaide 2-0 down in the series,
Stephan Shemilt examines what it will take for Ben Stokes' men to bounce
back.
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment