Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC, Mohamed 'Mo' Dewji (kulia) akiwa na Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Andres Sjoberg leo Jijini Dar es Salaam katika mazungumzo yaliyohusu ushirikiano wa maendeleo ya soka ya vijana. Mo Dewji amesema Balozi Sjoberg amejitolea kuleta makocha mashuhuri kuisaidia Simba kuanza mpango huo na kuzindua kituo cha kukuza soka ya vijana cha klabu hiyo ndani ya mwaka huu
Frank Lampard makes shock admission about his second stint as Chelsea boss
as he opens up on the state he found the club in under its current ownership
-
The Blues were struggling in the early days of their new ownership
following Todd Boehly and BlueCo's takeover of the club in spring 2022 -
purchasing it f...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment