Sergio Aguero akifunga bao lililoelekea kuwa la ushindi kwa Manchester City dakika ya 87 kabla ya Fernandinho kujifunga dakika ya 90 na kufanya sare ya 2-2 na Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Aguero pia aliifungia bao la kwanza Manchester City dakika ya 82 lililokuwa la kusawazisha baada ya Cenk Tosun kuanza kuifungia Crystal Palace dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I’ve been receiving death threats for telling Nigerians not to criticise
Tinubu – Peller cries out
-
By Seyi Babalola Controversial streamer Peller claims he has received death
threats after urging Nigerians to end the ongoing #30DayRants challenge on
Ti...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment