Wachezaji wa Manchester United wakimpongeza Diogo Dalot baada ya kufunga bao la pili dakika ya 13 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya wenyeji, Tranmere Rovers ya Daraja la Pili kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Prenton Park huko Birkenhead, Merseyside. Mabao mengine ya Man United yamefungwa na Harry Maguire dakika ya 10, Jesse Lingard dakika ya 16, Phil Jones dakika ya 41, Anthony Martial dakika ya 45 na Mason Greenwood kwa penalti dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cooper Flagg and Duke punch their ticket to March Madness Final Four in
85-65 demolition of Alabama
-
JAKE FENNER IN NEWARK, NEW JERSEY: Sorry, America. They're good again. They
really are just that good again. Duke is off to the Final Four for the 18th
tim...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment