Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 42 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Port Vale kwenye mchezo wa Raund ya Tatu Kombe la FA England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Oleksandr Zinchenko dakika ya 20, Taylor Harwood-Bellis dakika ya 58 na Phil Foden dakika ya 76, wakati bao pekee la Port Vale limefungwa na Tom Pope dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The making of Liam Delap: Why the prankster Man United and Chelsea are
battling for was BANNED from mimicking dad Rory's throw-ins and how
gymnastics helped build a 'wrecking ball'
-
Avanti West Coast, Coach E. An empty table, seat on the aisle. Content, a
bit bored. Before Liam Delap became this thing, this new shiny striker,
this new ...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment