Jason Cummings akishangilia baada ya kuifungia Shrewsbury Town mabao mawili dakika za 65 kwa penalti na 75 kuisaidia kupata sare ya 2-2 na mabingwa wa Ulaya, Liverpool katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Montgomery Waters Meadow. Liverpool ilitangulia akwa mabao ya Curtis Jones dakika ya 15 na Donald Love aliyejifunga kwa bahati mbaya dakika ya 46 na sasa timu hizo zitarudiana Uwanja wa Anfield kuwania kusonga mbele PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mayer retains title with points win over Briton Ryan
-
World champion Mikaela Mayer outpoints Briton Sandy Ryan for the second
time to defend her WBO welterweight title in Las Vegas.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment