Mshambuliaji Mfaransa Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao yote mawili dakika za 72 na 90 ikitoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya wenyeji, Ibiza ya Segunda B iliyotangulia kwa bao la Pep Caballe dakika ya tisa Uwanja wa Manispaa ya Can Misses katika mchezo wa Hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Crystal Palace 2-2 KuPS: How did the Eagles' youngsters fare, which star
took his chance AGAIN - and was Oliver Glasner right to prioritise the
Premier League?
-
WILL PICKWORTH AT SELHURST PARK: The draw meant the Eagles finished 10th in
the Conference League table, and they will now be forced into two extra
fixture...
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment