Beki wa umri wa miaka 22, Mcanada Fikayo Tomori akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 64 kufuatia Mitchy Batshuayi kufunga la kwanza dakika ya sita katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Hull City ambayo bao lake lilifungwa na Kamil Grosicki dakika ya 78 kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa KCOM PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FA Cup: We must be extra focused against True Democracy to avoid an upset -
Kotoko coach Prosper Ogum
-
The head coach of Asante Kotoko, Prosper Narteh Ogum has charged his
players to go into the MTN FA Cup tie against True Democracy on Sunday with
all seriou...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment