Kiungo Mreno, Bruno Fernandes (kulia) akisaini mkataba wa miaka mitano na nusu kujiunga na Manchester United kutoka Sporting Lisbon ya kwao, Ureno kwa dau la Pauni Milioni 46.6, ambalo linaweza kupanda hadi Pauni Milioni 68. Kushoto ni kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer ambaye ana matumaini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 ataisaidia timu yake PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Maya Jama is being followed on Instagram by Ruben Dias' mother - after Love
Island host jetted over to Lisbon to watch Man City star play for Portugal
-
Maya Jama is being followed on Instagram by Ruben Dias' mother, prompting
speculation over a relationship between the Love Island host and the
Manchester C...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment