Sergio Aguero akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao matatu Manchester City dakika za 28, 57 na 81 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya wenyeji, Aston Villa Uwanja wa Villa Park usiku wa jana, hiyo ikiwa ni hat-trick yake ya 12 kwenye Ligi Kuu ya England na kuwa mchezaji anayeongoza kufunga mabao matatu, matatu katika mechi moja. Mabao mengine ya Manchester City yalifungwa na Riyad Mahrez dakika ya 18 na 24 na Gabriel Jesus dakika ya 45 na ushei, wakati la Villa lilifungwa na Anwar El Ghazi kwa penalti dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment