Raheem Sterling (kushoto) akishangilia baada ya kuwafungia mabao mawili mabingwa watetezi, Manchester City dakika za 50 na 70 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyej, Oxford United kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup usiku wa jana Uwanja wa The Kassam. Bao lingine la Man City lilifungwa na Joao Cancelo dakika ya 22, wakati la Oxford United lilifungwa na Matt Taylor dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gloucester thrash Exeter with 13 tries in record-breaking win
-
Gloucester score 13 tries in a club-record-breaking win over Exeter to move
up to fifth in the Premiership.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment