Marcus Rashford akishangilia na mchezaji mwenzake, Anthony Martial baada ya wote kuifungia Manchester United katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Colchester United kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao. Rashford alifunga dakika ya 51 na Martial dakika ya 61, wakati bao lingine Ryan Jackson wa Colchester United alijifunga dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New GOC president Richard Akpokavie urges federations to unite and develop
Ghana sports
-
The new president of the Ghana Olympic Committee, Richard Akpokavie, has
urged federations to unite in developing Ghanaian sports.He believes
divisions amo...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment