Mshambuliaji mpya wa Yanga SC, Ditram Nchimbi akiwa hoi baada ya mazoezi magumu gym mjini Dar es Salaam jana. Bado haifahamiki kama Ditram Nchimbi aliyesajiliwa kutoka Azam FC mwezi huu baada ya kufanya vizuri akicheza kwa mkopo Polisi Tanzania kama ataanza kucheza kesho, Yanga ikimenyana na Biashara United ya Musoma mkoani Mara kwenye mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
'Season hasn't been good' - Pep says cup win would limit 'damage'
-
Boss Pep Guardiola has told Manchester City they cannot get "confused" the
season has been a success after reaching the FA Cup final.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment