Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Liverpool dakika ya 49 ikiwalaza Wolverhampton Wanderers 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Ushindi huo unaifanya Liverpool ifikishe pointi 55 katika mchezo wa 19 na kuendelea kuongoza EPL kwa pointi 13 zaidi ya Leicester City na 17 zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ghana star Thomas Partey weighs his options as Arsenal plans contract
extension
-
Ghana international Thomas Partey is currently weighing up his options as
Arsenal plans to extend his contract. Partey, who joined the Gunners in
summer 20...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment