Tyrone Mings akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Aston Villa bao la kusawazisha dakika ya 66 ikitoa sare ya 2-2 na wenyeji, Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Bao la kwanza la Aston Villa limefungwa na Jack Grealish dakika ya 11, wakati mabao ya Man United yamefungwa na Tom Heaton aliyejifunga dakika ya 42 na Victor Lindelof dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy star Alex McKinnon takes a huge and very public step in his love life
just after his ex Teigan Power announced she's having a baby with her new
partner
-
McKinnon split up with his ex-wife Teigan Power in early 2022, then went
public with his romance with Lily Malone in March last year. Now their
relationshi...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment