Jonathan Kodjia akishangilia baada ya kuifungia Aston Villa mabao mawili dakika za 37 na 45 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao usiku wa jana Uwanja wa Villa Park. Mabao mengine ya Aston Villa yalifungwa na Conor Hourihane dakika ya 14, Morgan Boyes aliyejifunga dakika ya 17 na Wesley Moraes dakika ya 90 na ushei na kuitupa nje Lierpool iliyotumia wachezaji wa timu ya vijana kutokana na kikosi cha kwanza kwenda Qatar kwenye Klabu Bingwa ya Dunia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League LIVE: Brighton vs West Ham and Ipswich Town vs Newcastle
headline 3pm games as Eddie Howe's men chase down Champions League spot
-
Follow Mail Sport's 3pm Premier League action for the latest updates
from Brighton vs West Ham, Ipswich Town vs Newcastle, Wolves vs Leicester
City and Sou...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment