Mshambuliaji Alexandre Lacazette (kulia) akifurahia na mwenzake, Bukayo Saka baada ya kuifungia tmu hiyo bao la kwanza dakika ya78 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Standard Liege kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League. Bao la pili la Arsenal lilifungwa na Saka dakika ya 81, wakati ya Standard Liege yalifungwa na Samuel Bastien dakika ya 47 na Selim Amallah dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'I don't want to be called Rafa's successor - I'm Carlos Alcaraz'
-
Carlos Alcaraz speaks about comparisons with his hero Rafael Nadal and his
fears that tennis will become an "obligation", rather than fun.
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment