Bondia Mmarekani, Gervonta 'Tank' Davis (kushoto) akirejea kwenye kona yake baada ya kumuangusha Yuriorkis Gamboa (kulia) kwa mara ya tatu katika raundi ya 12 kabla ya refa Jack Reiss kumpa ushindi wa Technical Knockout (TKO) na kutwaa taji la WBA uzito wa Light Alfajiri ya leo ukumbi wa State Farm Arena Jijini Atlanta, Marekani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ex-Croatia international, 39, dies in horror car crash involving four
vehicles - as two of his team-mates are left in a critical condition
-
The crash involved four vehicles and also claimed the life of another
individual not traveling with Pokrivac. Two of his teammates sustained
critical injur...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment