Kipa wa Manchester United, David de Gea akisikitika baada ya kufanya makosa yaliyomuwezesha Ismaila Sarr kuifungia Watford bao la kwanza dakika ya 50 Mashetani Wekundu wakichapwa 2-0 na wenyeji wao hao kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vicarage Road. Bao la pili la Watford limefungwa na Troy Deeney kwa penalti baada ya Aaron Wan-Bissaka kumchezea rafu Sarr PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New York Giants rookie Abdul Carter reacts to rejection from NFL legend and
team icon Lawrence Taylor
-
Abdul Carter shot his shot with New York Giants legend Lawrence Taylor. But
that request may have been a bit too much to ask, even for the
third-overall pi...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment