Kevin De Bruyne akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya pili kabla ya kufunga na la tatu dakika ya 40, kufuatia Raheem Sterling kufunga la pili dakika ya 15 katka ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo Uwanja wa Emirates mjini London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police raid Nasarawa black spot, recover pistol, arrest suspect
-
By John Ogunsemore The Nasarawa State Police Command has arrested a
25-year-old man, Buhari Mustapha and recovered a firearm during a raid on a
known bla...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment