Mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema akikimbia kushangilia baada ya kuisawazishia Real Madrid dakika ya 90+5 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Valencia iliyotangulia kwa bao la Carlos Soler dakika ya 78 kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Mestalla. Matokeo hayo yanamaanisha Real Madrid inaendelea kulingana kwa pointi na mabingwa watetezi, Barcelona 35 kila timu baada ya mechi 16, ingawa wanazidiwa wastani wa mabao tu kuelekea El Clasico usiku wa Jumatano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Again, suspected cultists kill rival cult leader in Yenagoa
-
From Femi Folaranmi, Yenagoa There is heightened tension among residents of
Yenagoa, the Bayelsa State capital, following the killing of Olotu Wanemi
Omu...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment