Mshambuliaji Mzambia wa Azam FC, Obrey Chirwa akichukua mpira kwa ustadi wa hali ya juu mbele ya beki wa Green Warriors katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 5-1, mabao yake yakifungwa na washambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma mawili, Muivory Coast Richard Ella Djodi na viungo Joseph Mahundi na Iddi Kipagwile kwa penalti
Again, suspected cultists kill rival cult leader in Yenagoa
-
From Femi Folaranmi, Yenagoa There is heightened tension among residents of
Yenagoa, the Bayelsa State capital, following the killing of Olotu Wanemi
Omu...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment