Kiungo Mjerumani, Mesut Ozil akimtoka Mcolombia, Jefferson Lerma kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Vitality mjini AFC Bournemouth. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Dan Gosling akianza kuwafungia wenyeji, Bournemouth dakika ya 35 kabla ya Pierre-Emerick Aubameyang kuisawazishia Arsenal dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
PDP group urges Tinubu to return from Europe to tackle Nigeria’s insecurity
-
From Ndubuisi Orji, Abuja The Conference of Professionals in the Peoples
Democratic Party (CP-PDP) has demanded that President Bola Tinubu
immediately re...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment