Kikosi cha Yanga SC kabla ya mchezo wake wa kwanza wa Robo ya Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi B dhidi ya ASEC Mimosa ya Ivory Coast Novemba 8, mwaka 1998 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam uliomalizika kwa wageni kushinda 3-0. Kutoka kulia waliosimama ni Salvatory Edward, Banza Tshikala, Edibily Lunyamila, Manyika Peter, Idelphonce Amlima na Alphonce Modest. Waliochuchumaa kutoka kulia ni Monja Liseki, Mohammed Hussein ‘Mmachinga’, Shaaban Ramadhani, Mzee Abdallah ‘National’ na John Jacob Mwansasu. Yanga SC walilazimika kuvaa jezi za Taifa Stars kutokana na jezi zao pekee walizokuwa nazo (njano) kufanana na za wageni.
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment