Arturo Vidal (kushoto) akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Barcelona bao la pili dakika ya 79 kufuatia kutokea benchi kuchukua nafasi ya Antoine Griezmann katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Leganes Uwanja wa Manispaa ya Butarque. Youssef En-Nesyri alianza kuifungia Leganes dakika ya 12 kabla ya Luis Suarez kuisawazishia Barcelona dakika ya 53 akimalizia mpira wa adhabu wa Nahohda, Lionel Messi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Heartbreaking final post by NASCAR's Greg Biffle reveals last date night
with wife who also died in plane crash
-
Biffle's Cessna C550 private jet was seen burning on a runway at
Statesville Regional Airport around 10:15am on Thursday, nine months after
obtaining his p...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment