Jose Mourinho akipiga ngumi hewani kushangilia ushindi wa 4-2 wa Tottenham Hotspur dhidi ya Olympiacos ya Ugiriki katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao ya Spurs yalifungwa na Dele Alli dakika ya 45, Harry Kane mawili dakika ya 50 na 77 na Serge Aurier dakika ya 73, baada ya Olympiacos kutangulia kwa mabao ya Youssef El-Arabi dakika ya sita na Ruben Semedo dakika ya 19 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Leicester set unwanted Football League record as miserable Premier League
run continues with Newcastle defeat
-
Jacob Murphy scored twice in the opening 11 minutes before Harvey Barnes
added a third to pile the misery on his former club.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment