Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia (wa pili kushoto) akipokea bendera kutoka kwa Rais wa Chama cha Soka Falme za Kiarabu (UAEFA), Mhandisi Marwan Ahmad Bin Ghalita jana Dubai baada ya mazungumzo kuhusu ushirikiano juu ya masuala mbalimbali. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu wa TFF, Wilfred Kidau na kulia ni viongozi wengine wa UAEFA
Eid-el-Fitr: Zamfara Governor preaches unity, peace
-
From Agaju Madugba, Katsina Governor Dauda Lawal has appealed to the people
of Zamfara State to continue to embrace unity and peace as well as reflect
de...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment