Wachezaji wa Astana wakishangilia ushindi wa 2-1 dhidi ya Manchester United usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi L UEFA Europa League Uwanja wa Astana Arena, mabao yao yakifungwa na Dmitri Shomko dakika ya 55 na Di'Shon Bernard aliyejifunga dakika ya 62 baada ya wageni kutangulia kwa bao la Jesse Lingard dakika ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Andrew Flintoff has become England's talent finder for their bid to
regain the Ashes Down Under, writes RICHARD GIBSON
-
RICHARD GIBSON: The sight of Andrew Flintoff mingling with county
cricketers highlighted the increasing influence of one of the sport's most
recognisable f...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment