Kiungo lkay Gundogan akiifungia bao la kuongoza Manchester City dakika ya 56 katika sare ya 1-1 na Shakhtar Donetsk kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Etihad usiku wa jana. Bao la Shakhtar Donetsk lilifungwa na Manor Solomon dakika ya 69, lakini Man City imefanikiwa kutinga hatua ya mtoano baada ya kufikisha ponti 11 katika mchezo wa tano, ikiwazidi pointi tano Shakhtar Donetsk wanaofuatia nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gas explosion injures 15 in Lagos
-
By John Ogunsemore A gas explosion in the Ijora Badia area of Lagos State
has left 15 persons, including children, injured on Sunday. The Director,
Lagos...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment