Mshambuliaji Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Inter Milan bao la pili dakika ya 81 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Slavia Praha kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Sinobo mjini Praha. Mabao mengine ya Napoli yote yalifungwa na Lautaro Martinez dakika ya 19 na 88, wakati bao pekee la Slavia Praha lilifungwa na Tomas Soucek kwa penalti dakika ya 37 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jude Bellingham's former team-mate reveals what makes him 'special' as he
says he saw Real Madrid star's quality from an early age
-
Bellingham, still only 21, has enjoyed a meteoric rise over the past few
years and is now considered to be one of the best midfielders in the world.
He joi...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment