Mbrazil Roberto Firmino akishangilia na wachezaji wenzake, Waholanzi Georginio Wijnaldum na Virgil van Dijk baada ya kuifungia bao la pili Liverpool dakika ya 85 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Crystal Palace leo Uwanja wa Selhurst Park, London. Liverpool ilitangulia kwa bao la Sadio Mane dakika ya 49 kabla ya Wilfried Zaha kuisawazishia Crystal Palace dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anambra students back Soludo’s re-election with N2m donation
-
Governor announces bursary for indigenous students From Aloysius Attah,
Onitsha Anambra State students have thrown their weight behind Governor
Chukwuma ...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment