Mfaransa Alexandre Lacazette akiifungia Arsenal bao la kusawazisha dakika ya sita ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 90 za kawaida katika sare ya 2-2 na Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Lacazette pia alifunga bao la kwanza la Arsenal dakika ya 18, wakati mabao ya Southampton yalifungwa na Danny Ings dakika ya nane na James Ward-Prowse dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Absence of data' in CPI report flashes yellow for further interest rate
cuts
-
The first fresh inflation reading since the government shutdown showed
prices unexpectedly eased in November, though the report may not
immediately change ...
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment